FLASH


Friday, January 25, 2013

Hivi ndivyo safari ya miaka 36 ya CCM inavyoanza kuelekea Kigoma

Kuongoza ni kuonyesha njia...!kila raheli Katibu Mkuu wa CCM Taifa Kinana
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akizungumza na wanachama na makada mbalimbali wa CCM katika stesheni ya treni Dar, alipokuwa akijiandaa kusafiri kwa treni kuelekea mjini Kigoma ambapo kutakuwa na maazimisho ya miaka 36 ya Chama Cha Mapinduzi.
Kuongoza ni kuonyesha njia...!
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi akizungumza na wanachama na makada mbalimbali wa CCM katika stesheni ya treni Dar, alipokuwa akijiandaa kusafiri kwa treni kuelekea mjini Kigoma ambapo kutakuwa na maazimisho ya miaka 36 ya Chama Cha Mapinduzi.
Kuongoza ni kuonyesha njia...!

No comments:

Post a Comment