Mjumbe wa mkutano mkuu wa
Taifa CCM Hassan Bomboko akihutubia mkutano mkuu wa CCM tawi maalum Chuo Kikuu
Mzumbe
Mwenyekiti Mstaafu wa Tawi maalumu Chuo kikuu Mzumbe
nashirikisho la vyuo vikuu morogoro akitoa mada kuhuu uimarishaji wa CCM na
utekelezaji wa ilani
Mjumbe wa baraza la vijana Mkoa wa Mara na Mjumbe wa kamati
ya utekelezaji Tawi maalum Chuo Kikuu Mzumbe Boniphace Maiga Juma akitoa mada
kuhusu Uongozi na Viongozi ndani ya CCm
WADAU MAMBALI WAKIFUATILIA MKUTANO MKUU
Mjumbe wa mkutano mkuu wa tawi Pius Gabriel na wadau wengine
wakifuatilia mkutano
Mmoja kati ya makada wa CCM na muasisi wa Tawi maalum chuo
kikuu cha Daressalam akitafakari jambo wakati wa mkutano
Hapa akichangia jambo ,pembeni yake ni Rosta Kapinga mjumbe
wa mkutano
Mwanyaketi wa UWT Tawi la mzumbe nae alikuwepo
Mwenyekiti wa UVCCM tawi maalum chuo kikuu mzumbe nae
alikuwepo
Meza kuu ikifuatilia mjadala kutoka kushoto ni mwenyekiti
Akida Hamisi ,Mgeni Rasmi Hassan
Bomboko,Katibu Elly Ketoka na Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya ulanga Mkuku .
Katibu wa Tawi maalum chuo kikuu mzumbe akisoma taarifa ya
mafanikio na changamoto zilizopo.
Hapa ni muda wa kuvuna wanachama wapya na huyu ni mmoja kati
ya walio hamia ccm kutokea CHADEMA meza kuu kwa furaha wakimkaribisha.
Katibu wa UWT tawi la mzumbe akimpongeza na kumpokea kwa
furaha kijana mwenzetu kwa uamuzi wa furaha.