FLASH


Friday, April 19, 2013

KARIBU WILAYA YA MVOMERO KATIBU MKUU

KINANA APOKELEWA NA WAFANYA BIASHARA WADOGO MVOMERO



Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahaman Kinana akisalimiana na  Vijana wafanyabiashara  wadogo wa Magole,Feri  ,Mvomero alipokuwa anaingia wilaya ya Mvomero ,Katibu Mkuu hakujali kunyesha kwa mvua,furaha yake ilikuwa ni kusalimiana na vijana ambao wanafanya biashara katika eneo hilo.

Katibu Mkuu wa CCM Taifa,Ndugu Abdulrahaman Kinana akisalimiana na vijana wafanya biashara wadogo wadogo wa Feri,Magole,Kinana aliwashauri vijana hao kuanzisha ushirika wao na yeye atawawezesha kuboresha mtaji wao.