NAPE ATOA MAJIBU YA KERO ZA WANANCHI ULANGA
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa tarafa ya Mtimbira wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro. |
Nape Nnauye akiongea na wakazi wa kata ya Karangakero,tarafa ya Mtimbira wilaya ya Ulanga. |
Katibu wa CCM,Sixtus Mapunda akihutubia wananchi wa tarafa ya Mtimbira, kwenye viwanja vya shule ya msingi ya Mtimbira . |
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye akihutubia wakazi wa tarafa ya Mtimbira, wilaya ya Ulanga,tarehe 15 April 2013. |
ZIARA YA KINANA ULANGA, MOROGORO
Kinana akipokea kadi ya mwanachama mpya kutoka Chadema, Kijiji cha Mwaya. |
MKUTANO WA CCM KILOSA WAFANA
Katibu wa CCM mkoa wa Morogoro akihutubia wananchi wa Ruaha wilaya wa Kilosa. |
Mwenyekiti wa CCM wilaya wa Kilosa ,Nassoro Udelele akijibu swala la wahanga wa ardhi katika wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha. |
Mshairi maarufu wa Morogoro,,Ndugu Maulid Chambilila akighani wakati wa mkutano wa hadhara uiofanyika kata ya Ruaha,wilaya ya Kilosa. |
Dk.Mohamed Seif Khatib akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa ,kata ya Ruaha ambapo aligusia umuhimu wa Muungano. |
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akihutubia wananchi wa wilaya ya Kilosa,kata ya Ruaha na kuwashukuru kufanikisha uchaguzi wa wajumbe wa mabaraza ya katiba. |
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu abdulrahaman Kinana akizungumza na wananchi wa Ruaha wilaya ya Kilosa. |
No comments:
Post a Comment