KWA HERI Benson Mollel MJUMBE WA BARAZA KUU UVCCM TAIFA -ARUSHA
Wazazi wa aliyekuwa mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa vijana wa CCM
(UVCCM)marehemu Benson Mollel,Suzana na Peter Mollel wakiweka shada la
maua katika kaburi la marehemu mtoto wao jana nyumbani kwao Lemara
jijini Arusha.Picha na Moses Mashallah